top of page

Anameremeta

a.Ewe fulani mtazame fulani siku ya leo jinsi alivyopendeza.

b.Nawe fulani mtazame fulani siku ya leo jinsi alivyopendeza.

Anawakawaka,anameremeta natabasamu lake lavutia,tabasamu lavutia x2


1.Ili mapendo yenu yajae nema na baraka za mungu,fulani akikuuzi fulani usiache kumbusu

2.Ili mapendo yenu yajae nema na baraka za mungu,fulani akikuuzi fulani usimpige kofi

3.Muwalee watoto katika nema na baraka za mungu,iliwajue wao nimatunda,matunda ya

mzabibu.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page