top of page

Bwana Alipoingia

Bwana alipoingia, katika mji mtakatifu Watoto wa Mayahudi - walimlaki Bwana Wakichukua matawi - ya mizeituni Wakisema hosanna, hosanna, hosanna juu hosanna juu mbinguni x2

Wakatandaza na nguo zao wakimlaki Bwana


Hosanna hosanna juu mbinguni hosanna mbinguni


Mbarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page