Bwana Mfalme
- John Mgandu
- Nov 1, 2023
- 1 min read
Bwana Mfalme ameketi milele (Bwana) atawabariki watu kwa Amani x2
Atawala duniani na mbinguni, toka mto hata kingo za dunia.
Na wafalme wote watamwabudia, mataifa yote yatamtumikia.
Utawala utawala wa milele, ni ufalme wenye kudumu milele.

Comments