top of page

Bwana Nami

  • Hymns
  • Nov 6, 2023
  • 1 min read

Nimemwona rafiki wa thamani kubwa,

Ananipenda kwa ‘pole, kwa pendo amini:

Kuishi kute ngwa naye, la, huki siwezi,

Tunakaa pamoja: Bwana nami.


Pengine nimechoka, mimi mdhaifu,

Ndipo ninamtegemea, alivyoalika;

Huniongoza njiani, pahali pa nuru,

Twatembea pamoja: Bwana nami.


Namweleza huzuni, na fura ha yangu,

Vile ninavyosumbua, vinavyopendeza;

Huniagiza kutenda, yanayonipasa,

Twazungumza pamoja: Bwana nami.


Ajua natamani, kuwavuta watu,

Hivyo ananipeleka, kutangaza Neno;

Nitangaze pendo lak, kwa niniakafa;

Twahubiri pamoja: Bwana nami.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page