Bwana Unihifadhi Mimi
- Anonymous
- Nov 18, 2023
- 1 min read
Updated: Apr 29, 2024
Bwana, unihifadhi mimi, Nakulilia wewe mchana kutwa
Unisikilize, maana mimi ni fukara, ee Bwana.
Wewe ni Mungu wangu, unionee huruma, ee Bwana.
Mimi ninakulilia, mchana kutwa, ee Bwana.
Wewe u mwema, na mwenye huruma, ee Bwana.
Umejaa upendo, kwa wote wanaokuomba, ee Bwana.
Usikie sala yangu, uangalie kilio changu, ee Bwana.
Siku za tabu, nakuita, ee Bwana.
Hakuna Mungu, aliyekama wewe, ee Bwana.
Hakuna awezaye kufanya, unavyofanya wewe, ee Bwana.

Comments