top of page

Damu Imebubujika

  • Hymns
  • Nov 3, 2023
  • 1 min read

1. Damu imebubujika, ni ya Imanweli

Wakioga wenye taka, husafiwa kweli.


2. Ilimpa kuushukuru mwivi mautini

Nami nisiye udhuru, yanisafi ndani.


3. Kondoo wa kuuawa, damu ina Nguvu

Wako wote kuokoka, kwa Utimilivu.


4. Bwana tangu Damu yako, kunisafi

Kale Nimeimba sifa zako,taimba milele.


5. Nikifa tazidi kwimba, sifa za Wokovu

Ulimi ujaponyamaa, vumbini mwa ufu.


6. Bwana, umenikirimu Nisiyestahili

Kwa damu yako, sehemu Ya mali ya kweli.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page