top of page

Imani ya Mitume

  • Hymns
  • Nov 4, 2023
  • 1 min read

Namwamini Mungu Baba Mwenyezi, Muumba mbingu na nchi:

Na Yesu Kristo Mwana wake wa pekee,

Bwana wetu, Aliyechukuliwa mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu,

Akazaliwa na Bikira Mariamu, akateswa zamani za Pontio Pilato,

Akasulibiwa, akafa, akazikwa, akashuka kuzimu;


Siku ya tatu akafufuka, akapaa mbinguni, ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba Mwenyezi: Kutoka huko atakuja kuwahukumu watu walio hai na waliokufa.

Namwamini Roho Mtakatifu: Kanisa Takatifu Katoliko:


Ushirika wa Watakatifu: Ondoleo la dhambi: kufufuliwa kwa mwili.

Na Uzima wa milele.


AMINA.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page