Karibu Sana
- Hymns
- Nov 6, 2023
- 1 min read
Karibu sana univute, karibu sana daima niwe.
Bwana napenda unishike, Unilinde nisitengwe nawe,
Unilinde nisitengwe nawe.
Karibu sana, sina kitu, Sina sadaka kwa Bwana Yesu,
Isipokuwa moyo wangu: Uutakase katika damu,
Uutakase katika damu.
Karibu sana wewe, wewe nami, Nitafurahi kuacha
Dhambi- - Anasa zote na kiburi: Nipe Yesu niliye msulibi,
Nipe Yesu niliye msulibi.
Karibu sana, hata mwisho. Hata mbinguni nisimamapo:
Daima dawamu niwepo Nitakapoona uso wako,
Nitakapoona uso wako.

Comments