top of page

Kikombe Kile Tubarikicho

Updated: Apr 3, 2024

Kikombe kile tubarikicho ni ushirika wa damu ya Kristu x2

1. Tunamshukuru Mungu / kwa kikombe cha Baraka.

2. Hivyo tunashiriki / damu yake Kristu.

3. Tunapoumega mkate / tunashiriki mwili wake Kristu.

4. Kwa kuwa huo mkate ni mmoja / sisi, ingawa ni wengi tu mwili mmoja.

5. Maana sisi sote / twashiriki mkate huo huo .

6. Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana / na pia kikombe cha shetani.

7. Hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana / na pia katika meza ya shetani

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page