top of page

Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana (Mungu) uchukue sadaka, upeleke mbele ya uso wa Mungu x2

1. Ni mazao ya nchi yetu- na kazi ya wanadamu- (malaika)

2. Mkate mazao ya shamba- divai ni tunda la mzabibu. (malaika)

3. Ufikishe sadaka hii, karibu na kiti cha enzi. (malaika)

4. Sadaka yetu ifanyike, mbele ya uso wa Muumba. (malaika)

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page