top of page

Mateso Yako

Mateso yako, (Bwana) Ee Bwana Yesu, ni kwa ajili yetu x2

  1. Unisikilize, mimi ni fukara,

  2. Ndiwe Mungu wangu unihurumie,

  3. Ninakulilia, ewe Bwana wangu,

  4. Mimi ni mkosefu, uniangalie,

  5. Uje Mungu wangu, wala sikawie,

  6. u msaada wangu, na Mwokozi wangu,

  7. Kaa nami Bwana, na usiniache.

  8. Ninakuimbia, wimbo wa shukrani,

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page