Mpende Jirani Yako
- Anonymous
- Oct 28, 2023
- 1 min read
1. Mpende jirani yako kama nafsi yako, kama Bwana Yesu kweli alivyokupenda we, hii ndio amri kuu aliyotuachia, mpende jirani
yako kama nafsi yako
Ewe ndugu yangu – mpende Bwana Munguu, Sikieni amri mpendane. Nilikuwa mgonjwa na hukunitazama Mpende jirani yako kama nafsi yako x2
2. Nilikuwa na kiu nahukunipa maji, nilifungwa jela wala hukuja nitazama, hayo ni maneno yake Bwana Yesu asema
mpende jirani yako kama nafsi yako
3. Maneno hayo yote kumbuka ndugu yangu, ukiyafuata utabarikiwa, mpende Mungu wako tena mpende ndugu yako
mpende jirani yako kama nafsi yako

Comments