top of page

Mpeni Mungu Zawadi

Mpeni Mungu zawadi mlizo nazo mpeni Mungu zawadi zenu x2

(Toeni kwa uwezo wenu – Mungu anaziona roho toeni kingi toeni kidogo) x2

1. Mkate wetu ee Bwana tunakutolea, ni mazao ya mashamba yetu / uubariki Bwana uupokee.

2. Divai ni yetu ee Bwana tunakutolea, ni mazao ya mashamba yeu / uibariki ee Bwana uipokee.

3. Na fedha zetu ee Bwana tunakutolea, ni juhudi za mikono yetu / uzibariki ee Bwana uzipokee.

4.Na sala zetu ee Bwana tunakutolea, twakusihi uzisikilize / uzibariki ee Bwana uzipokee.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page