Mungu Nawe Nanyi
- Hymns
- Nov 6, 2023
- 1 min read
Mungu nawe nanyi daima; hata twonane ya pili,
Awachunge kwa fadhili, Mungu nawe nanyi daima.
Hata twonane juu, hata twonane tena kwake;
Hata twonane juu, Mungu nawe nanyi daima.
Mungu nawe nanyi daima; awafunike mabawa,
Awalishe, awakuze; Mungu nawe nanyi daima.
Mungu nawe nanyi daima; kila wakati wa shida
Awalinde hifadhini; Mungu nawe nanyi daima.
Mungu nawe nanyi daima; awabariki na pendo
Ambalo halina mwisho; Mungu nawe nanyi daima.

Comments