top of page

Mwanzi Uliopondeka

Updated: Dec 30, 2023


1. Utambi mchafu wa Moshi mzito, Hatauzima, kadhalika mwanzi, uliopondeka kamwe hatauvunja

(Hatanitupa), Bwana Yesu (milele yote) atanipigania, (Hataniacha) Bwana Yesu, (niangamie) atanipigania

2. Najua mtetezi wangu ni mwema, mwenye huruma, mwingi wa rehema, asiyeyahesabu maovu ya watu.

3. Nakiri Mimi mdhaifu kabisa, nimeanguka, kulitii neno, lakini nitamuangukia mwenyezi.

4. Nanyi ndugu zangu kweli, natubu. Niliyofanya, sikuwapendeza, nisameheni nichukulieni pia.


Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page