top of page

Nasikia Sauti Yako

  • Hymns
  • Nov 6, 2023
  • 1 min read

Nasikia mwito, Ni sauti yako;

Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako.


Nimesongea mtini pako,

Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.


Ni mnyonge kweli, umenipa nguvu;

Ulivyonisfi taka Ni utimilivu.


Yesu hunijuvya: Mapenzi imani,

Tumai, amani, rahi, hapa na mbinguni.


Napata wokovu, Wema na neema;

Kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page