top of page

Nimefufuka na Bado

Nimefufuka na bado pamoja nawe, Aleluya wauweka mkono wako juu yangu


Ee Bwana mchungaji wangu, popote wanifahamu


Hakuna chochote kwangu, usikifahamu, Bwana


Hata nikiomo mbingu, pia niende kuzimu


Mtukufu Baba, mwana na roho mtakatifu.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page