top of page

Ninakuabudu Ee Mungu Wangu

Ninakuabudu e Mungu wangu

Japo wafichika ninakutazama

Nakuona kwa imani ee Mungu wangu

Chini ya maumbo hayo ya hostia


Ninakuabudu Mungu kwa moyo

Na kunyenyekea kwa moyo wote

Namwamini Yesu Mwana wa Mungu

Chini ya maumbo hayo ya hostia


Alipofuka Yesu juu ya msalaba

Wabaya wakasema eti kashindwa

Na hata watu wema wamemfuata

Umungu wake wala hautashindwa


Mafahamu yangu yasidanganywe

Yanapo kuona na kukuguza

Yesu Mungu Mwana na Mungu wa kweli

Chini ya maumbo hayo ya hostia


Ee Yesu mfichika sasa nakuona

Hili jambo moja naomba sana

Utakapo fufuka nikuone kwa uso

Nipate heri ya utukufu wako

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page