top of page

Ninaungama

Ninaungama Dhambi zangu zote kwani nimekosa (Baba) nihurumie x 2

  1. Nimekosa kwa mawazo, kwa maneno na vitendo

  2. Kutotimiza wajibu kweli nimekosa, kweli nimekosa.

  3. Ninakuomba ee Bikira Maria ewe mwenye heri.

  4. Na malaika watakatifu nanyi ndugu niombeeni.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page