top of page

Nitakwenda Mimi Mwenyewe

  • Myaga
  • Oct 14, 2023
  • 1 min read

Nitakwenda mimi mwenyewe, nikatoe sadaka kwa Bwana (Aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi Mungu wangu, Mungu wangu, Mungu wangu Kwa kuniumba hadi nikapendeza) x2

  1. Kaniumba kwa mfano wake, kuliko viumbe vingine, na sasa nikatoe shukrani

  2. Vyote nilivyo navyo ni vyake, nimrudishie kwa mapendo, Na sasa nikatoe shukrani

  3. Mema mengi amenijalia, ya mbinguni na duniani, Na sasa nikatoe shukrani

  4. (Siku zote wanilinda vyema, wanitunza na kunijali, Na sasa nikatoe shukrani)

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page