top of page

Njoni Kwangu

Njoni kwangu, ninyi nyote munaosumbuka x2 Aleluya, aleluya, aleluya x2

  1. Mcheni Bwana, enyi watakatifu wake.

  2. Kwa maana wenye kumcha, hawakosi mahitaji yao.

  3. Bali wamtafutao Bwana, hawakosi Chema cho chote.

  4. Na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page