top of page

Pasipo Makosa

  1. Pasipo makosa Mkombozi wetu, Katika baraza la wakosefu Na wote walia asulibiwe, Aachwe Baraba na Yesu afe Aachwe Baraba na Yesu afe

  2. Ee Yesu washika msalaba wako, Na unakubali kufa juu yake Ee Yesu useme sababu gani, Ya nini mateso makali hayo? Ya nini mateso makali hayo?

  3. "Ni pendo kwa Baba wa uwinguni, Ni huruma yangu kwa wakosefu. Ewe mkristu kumbuka mateso yangu, Uache makosa, uache dhambi Uache makosa, uache dhambi"

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page