top of page

Tazameni Kalvari

Tazameni kule kalivari; Mwokozi aliteswa kwa dhambi, alizikwa kule kaburini: mwisho akatoka kwa ushindi x2


1.Nitashinda Bwana nitashinda, kama wewe pia ulishinda: nitapita mapitoni mwako, nimeanza Bwana nitashinda x2

2. Njia mbovu zote nimeacha, nitapita njia nye-embamba, walipita Elija na Musa, walianza Bwana washinda x2

3. Kupokea wimbo wa ushindi, ulinunuliwa kwa mawingu, Malaika kule wanaimba wanasifu nyimbo za ushindi x2

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page