top of page

Tukaye Tayari


Tukaye tayari kulipokea neno litokalo kwa Bwana

1. Neno lake Bwana ni kuu, linao uzima wa milele

2. Neno hilo latufundisha, njia ya kuweza kuokoka.

3. Ni neno la kweli daima, litusaidialo maishani.

4. Tulisikie kwa makini, tukalitangaze mahali pote.


Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page