top of page

Umeniita

(Umeniita Bwana nipokee) x2 (nimeitika wito niwe mtumishi wako milele x2)

  1. Umeniita Bwana kufanya kazi katika shamba lako: umeniongoza niwe mtumishi wako mwaminifu

  2. Ulisema ukitaka kunifuata ukubali kuacha yote; nami nimekubali wito wako

  3. Bila wewe mimi siwezi kitu: neno lako Bwana laniongoza

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page