top of page

Viuzeni Mlivyo Navyo


Viuzeni mlivyonavyo mkavitoe sadaka, kwakuwa mnajiwekea hazina yenu Mbinguni( ndugu) kwakuwa mnajiwekea Mbinguni

1. Rudisheni kwake Bwana ni mali yake viuzeni

2. Onyesheni moyo safi wa ukarimu viuzeni

3. Msidhani mnapoteza mlivyonavyo viuzeni

4. Mkitoa mtalipwa huko Mbinguni viuzeni

5. Yeye Mungu anaona mioyo yetu viuzeni.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page