top of page

Viuzeni Mlivyo Navyo

Viuzeni mlivyo navyo mkavitoe sadaka, kwa kuwa mnajiwekea hazina

yenu mbinguni (ndugu) kwa kuwa mnajiwekea mbinguni.

  1. Rudisheni kwake Bwana ni mali yake viuzeni.

  2. Onyesheni moyo safi kwa ukarimu viuzeni.

  3. Msidhani mwapoteza mlivyo navyo viuzeni.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page