top of page

Yatangazeni Mliyoyasikia

Nendeni na amani, misa imekwisha Nendeni mkayatangazeni yote mliyoyasikia Katika masomo injili na mahubiri. Tazama Kristu Bwana yupo nasi daima- Daima mpaka ukamilifu wa dahari


Neema na baraka mlizozipata Zikae nanyi siku zote


Ishi kwa upendo amani umoja matunda ya Ekaristia


Na yahubirini mliyoyasikia kwa matendo na miendo yenu

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page