top of page

Yesu Akalia

Updated: Feb 27, 2024

Yesu akalia kwa sauti kubwa, (Akasema), Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu) x2

  1. Alipokwisha kusema hayo, akakata roho Yule akida alipoona hayo, akasema Huyo hakika alikuwa mwana wa Mungu

  2. Na makutano yote ya watu, waloshuhudia Wakafadhaika wakaenda zao, wakiomba Wakapigapiga vifua kuomba toba

  3. Na wote waliojuana naye, waloandamana Wakimfuata toka Galilaya, kwa pamoja, Wakasimama wakitazama mambo hayo.

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page