top of page

Yesu Nakushukuru


Yesu nakushukuru, (asante) x4 { Umenilisha, asante, umeninywesha, asante, Umenipenda, asante, umenilinda, asante) x2

  1. Ee Bwana wangu nitakushukuruje, Kwa pendo lako lisilo na kipimo, Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,

  2. Umenitunza kwa msingi wa kweli, Naburudika kwa wingi wa divai, Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,

  3. Kwa pendo lako wanilinda salama, Kwa wema wako ninapata fanaka, Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,

  4. Ee Yesu wangu nitakushukuruje, Kwa ukombozi na zawadi ya mbingu, Unanipenda Bwana nasema asante, Bwana,

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating

Recent Posts

bottom of page